Wednesday, February 13, 2013

KIGOMA ALL STARS WALA SHAVU LA KUWA MABALOZI WA NSSF



#InstaConference #Arusha #AICCR #AsNSSFFambassador #KiCorporateZaidi #KiNSSFzaidi #Mipango na #MaendeleoZaidi #kiCommunity na #Member wenzangu toka #LekaDutigiteCompany
Leo hii ikiwa ni dakika 30 zilizopita, kupitia mtandao wa Instagram, Diamond ameweka picha akiwa na Banana , Mwasiti na wengineo wanaounda kundi la Kigoma All Stars, wakiwa katika ukumbi wa mikutano Arusha AICC. Kutokana na maelezo aliyoyaandika chini ya picha hii, ni dhahiri kuwa wamekula shavu la kuwa mabalozi wa NSSF.
 Kama unakumbuka siku chache zilizopita, tulikuwekea picha hii ya tangazo la NSSF likiwa na picha za wasanii hao ya wasanii hao

No comments:

Post a Comment