Tuesday, November 19, 2013

Rais Kikwete awasili Poland kwa ajili ya Mkutano wa Mabadiliko ya Tabia Nchi

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili jijini Warsaw, Poland, kuhudhuria mkutano wa Nchi wanachama wa Mkataba wa Kyoto kuhusu mabadiliko ya Tabia Nchi unaoanza leo Jumanne Novemba 19, 2013. (picha hii na zinazofuata hapo chini zimetoka Ikulu)





No comments:

Post a Comment