Sunday, December 30, 2012

AJALI YA MOTO TENA MBEYA

ANGALIA BAADHI YA PICHA ZA AJALI YA MOTO ILIYOTOKEA JIJINI MBEYA KATIKA MAGHALA YA KUHIFADHIA BIDHAA ZA WAFANYABIASHARA MAARUFU WA JIJINI MBEYA (MWANJELWA).


Hayo ni mafuta yakiwa yametapaka njiani

gari ambayo imeungua vibaya na moto

baadh ya wakazi wakishangaa kilichotokea

hapo mbele ni mafuta



baadhi ya wafanya biashara wakifika eneo la tukio kuangalia kilichojili





mafuta

hiyo ni mimea ikiwa imemwagikiwa na mafuta


























No comments:

Post a Comment