Wednesday, October 17, 2012

Tanzania Prisons Vs Azam FC hakuna mbabe leo Sokoine.

hapo juu ni kikosi cha wanalambalamba Azam FC kabla ya mechi

Tanzania Prisons maarufu kama wajelajela kabla ya mechi

Azam FC wakipga dua.

benchi la Azam FC









Tanzania Prisons
Mara baada ya mpambano huo kumalizika hottest newz imebahatika kuongea na walimu wa pande zote mbili ikianzia na kocha msaidizi wa Azam Kalimangonga Ongara ambaye moja kwa moja lawama zake amewatupia waamzi, kwamba hawajaitendea haki timu yake.

Kwa upande wa wanajelajela kocha wao Jumanne Charle alidhidi kusisitiza kuwa kikosi chake kimekuwa kikiimalika kila kukicha ila akaendelea kwa kusema timu yake imekuwa haifanyi vizuri kwenye safu ya ushambuliaji na kuahidi kuawapa mbinu zaidi vijana wake wanaocheza kwenye nafasi hiyo

Tanzania Prisons wametandaza kandanda safi la kuvutia katika mechi hiyo kiasi ambacho imewafanya watu wengi waliohudhuria mechi hiyo kuishangila kwa nguvu tofauti na mechi zilizopita.


No comments:

Post a Comment