Wednesday, October 31, 2012

YANGA YAIKANDAMIZA MGAMBO JKT TAIFA





Dar es salaam Yanga Africa
                            



Klabu ya Dar es salaam Yanga Africa imewaadabisha washika virungu Mgambo JKT baada ya kuwanyuka bao 3 kwa 0 bila huruma.

Yanga ambayo imeonekana kuwa na kiu kubwa ya kukalia kiti cha uongozi wa ligi kuu msimu huu mara baada ya kuanza vibaya.

Yanga imejipatia magoli yake kupiti kwa Didier Kavumbagu, Jerryson Tegete na Nadir Haroub Canavaro, huku ikiwapumulia shingoni watani wake wa jadi Simba ambao wamefungana gori 1 kwa 1 na polisi morogoro kwakuwa na pointi sawa ila Simba wakiwa na wastani mzuri wa magoli ya kufunga na kufungwa.


Yanga imejipatia magoli yake kupiti kwa Didier Kavumbagu, Jerryson Tegete na Nadir Haroub Canavaro, huku ikiwapumulia shingoni watani wake wa jadi Simba ambao wamefungana gori 1 kwa 1 na polisi morogoro kwakuwa na pointi sawa ila Simba wakiwa na wastani mzuri wa magoli ya kufunga na kufungwa.


No comments:

Post a Comment