Saturday, October 20, 2012

VPL kuendelea kutimua vumbi hapo kesho, Toto African Vs Tz Prisons.

Wachezaji wa Timu ya Toto African wakimsikiliza kocha wao kujiaandaa na mpambano hapo kesho


John Tegete akitoa maelekezo kwa wachezaji wake.



Toto African wakifanya mazoezi ya mwisho kujiandaa kukabiliana na maafande wa Tanzania Prisons.

mlinda mlango wa Toto African

Kikosi cha maafande wa  Tanzania Prisons watakaoshuka dimba hapo kesho kusaka pointi tatu mhimu katika dimba lao la nyumbani Sokoine. 

No comments:

Post a Comment